Utajuaje Mke au Mpenzi Wako Amefika Kileleni - bongo specially

Breaking

Post Top Ad

Thursday 14 September 2017

Utajuaje Mke au Mpenzi Wako Amefika Kileleni


Wanawake wengi wanatabia ya kudanganya kuwa wamefika kileleni kumbe hata kileleni kwenyewe hajuwi ni wapi.

Mara nyingi wanatumia mbinu ya kudanganya kama wanafika kileleni kwa kupiga kelele za kimahaba na wapo ambao huongea kabisa, utawasikia “ooh bebi I’m coming”. Hapo mwanaume utajiona dume la mbegu kumbe “hutoshi”. Wakati mwingine wanaume wanapata taabu sana kujua kama ni kweli wamewaridhisha na kuwafikisha wake zao au la.

Dalili 5 zitakazokuonyesha sasa anafika kileleni:

1. UTAONA MISULI YA UKE WAKE INAKAZA NA KUACHIA:

Mwanamke anapokaribia kutaka kufika kileleni utaona misuli kuzunguka uke kama inakaza na kuachia hivyo hivyo kwa sekunde kadhaa na utaona wazi mheshimiwa akibanwa na kuachiwa hivi. Ni wakati huu mwanaume hatakiwi afike kileleni kwani atamwacha mwenza wake pabaya sana.

Kadri mwanamke anavyokaribia kufika kileleni ndivyo na kasi ya kukaza na kuachia kwa misuli ya uke kutakavyokuwa wake kunaongezeka.

Kitendo hiki cha uke kumbana na kumwachia mzee kitaendelea kwa kujirudia rudia mpaka mwanamke amefika kileleni.

2. UKE UTAZIDI KULOA MAJI:

Hapa sasa unaweza kuwa na uhakika kwamba ameshafika mlimani kabisa. Haya maji maji au utelezi kidogo unatokea hapa ndiyo tunaweza ni kukojoa kwa mwanamke na hapo ndiyo na yeye anakuwa amefika kilelelni kama vile manii yanavyomtoka mwanaume anapofika kileleni. Kwahiyo wanawake nao huwa wanakojoa katika tendo la ndoa na ndiyo wakati huo yeye huhisi raha ambayo ni vigumu kuielezea.

G-spot inapopata msuguano wa kutosha hapo mwanamke ataweza kukojoa. G-Spot ni sehemu ipo sehemu ya juu ya uke wa mwanamke inch 2 kutoka juu kwenye mlango wa uke. Hamu hii ya kutaka kukojoa wanawake wengi huipata katikati ya tendo la ndoa, wengine wanaweza kuipata wakati wa maandalizi kama mwanaume anajuwa kuichezea vizuri G-spot ya mwanamke.

G-spot inapopata msisimko wa kutosha, inatoa taarifa kwa homoni ya kike kutengeneza hayo majimaji yakiwa tayari. Mwanamke utajisikia kutaka kukojoa na ukijiachia ili yatoke yatapitia kwenye urethra kama mkojo lakini sio mkojo bali ni majimaji ya kufika kileleni.

Wanawake wengi wakati wa kupeana raha na utamu kuna muda huwa wanajisikia kama kukojoa na wanaomba wakakojoe lakini kumbe ni majimaji ya kufika kileleni. Unashauriwa wakati mwingine kabla ya kushiriki tendo la ndoa ukojoe kabisa ili kibofu chako cha mkojo kiwe kitupu ili katikati ya tendo ukisikia kukojoa ujue unakaribia kufika kileleni. Kwahiyo jiachie na uwe huru lii uweze kupata raha na utamu wa kufika kileleni.

Si wanawake wote wanaweza kutoa majimaji mengi, kama ikitokea hujatokewa na hali hii usijisikie vibaya bali ujuwe kuwa upo katika kundi la wale wanawake ambao wakifika kileleni uke wao huwa unazidi kuloa badala ya kutoa maji kama mkojo kabisa.

3. MIGUNO NA MAKELELE YA KIMAHABA VITAONGEZEKA:

Hapa uwe makini kidogo. Wapo wanawake wao huwa na kelele wakai wote tangu mnaanza mpaka mnamaliza, mwanamke wa namana hii anaweza kumchanganya mwanaume asiye mjanja kutambua hizi ni kelele za kufika kileleni au ni kelele za kawaida tu.

Wanawake wengi wamedanganya waume zao kwa kutumia mtindo huu na mwisho wa siku huwa hata hawajafika kileleni. Utaweza kujua kuwa anadanganya pale kelele au miguno yake ikiwa katika mpangilio unaoeleweka kwa mfano (oooh yeah,oooh yeah,ooh yes kama cd iliyorekodiwa, hapo ujuwe unadanganywa).

Kelele za kufika kileleni mara nyingi huwa hazieleweki na wala huwa hazina mpangilio maalumu. Kwa kawaida kelele huwa za undani kidogo zikiambatana na lugha ya mwili inayoendana na makelele au miguno anayoitoa. Kinyume na hapo ujue anakudanganya.

4. CHUCHU HUANZA KUWA NGUMU:

Kwa kawaida mwanamke anapokuwa anazidi kupata hamu ya tendo la ndoa matiti yake huvimba kutokana na ongezeko la kasi ya mzunguko wa damu katika mwili wake, lakini chuchu zake huwa zinakuwa za kawaida. Hata hivyo kuna baadhi ya wanawake chuchu zao zinakuwa ngumu pale matiti yakivimba (hawa ni wachache sana).

Hivyo ni mhimu ujue mapema kabla hata tendo la kupeana raha na utamu halijakolea. Pale mwanzoni tu unapokuwa unapashana nae joto, jaribu kuzigusa au kuziminya chuchu zake taratibu kama ukiona ni laini halafu baadae katikati ya tendo zikabadilika zikawa ngumu, basi ujue upo uwezekano ama ulifanikiwa kumfikisha kileleni au alikaribia kufika lakini hakufanikiwa. Ikiwa umezikuta ngumu tokea mwanzoni basi huwezi tena kuzitumia chuchu kama dalili ya kukujulisha kuwa amefika kileleni au bado.

5. LUGHA YA MWILI:

Hapa anaweza kuwa anahema haraka haraka kwa sababu ogani zake za ndani na mishipa yake vitakuwa vinahitaji oksijeni zaidi ili aweze kufika kileleni salama.

Hivyo hivyo atazidisha kujikunjakunja, kujinyonganyonga au kujisogeza kwako. Kama atakuwa ametulia tu ujue bado hivyo ongeza bidii.

Unaweza kuona pia mikono yake anaikunjakunja hata kufinya shuka.

Kama mpo kwenye staili ile ya kizamani wengine hupenda kuiita ‘kifo cha mende’ utashangaa ghafla anaanza kukumbatia na kukushikilia kwa nguvu, heee kama kucha zake ndefu anaweza kukuachia alama kadhaa mgongoni au kifuani wakati mwingine anaweza akashindwa kujizuia akakung’ata kabisa!!!

No comments:

Post a Comment