Mwanamke Mkongwe Zaidi Duniani Afariki Dunia - bongo specially

Breaking

Post Top Ad

Saturday 16 September 2017

Mwanamke Mkongwe Zaidi Duniani Afariki Dunia


Mwanamke mmoja wa Jamaica anayedhaniwa kuwa mtu mkongwe zaidi duniani Violet Mos Brown amefariki akiwa na umri wa miaka 117.

Waziri Mkuu wa Jamaica alitangaza kufariki kwa mwanamke huyo kupitia mtandao wa Twitter.
Vyombo vya habari vya nchini vilisema alifariki kwa utulivu katika hospitali moja katika mji wa Montego Bay.

Violet Moss Brown, aliyekuwa mtu mkongwe zaidi mapema mwaka huu, alizaliwa mwaka 1900.
Alisema kuwa aliweza kuishi muda mrefu na kwamba aliweza kula karibu kila kitu isipokuwa ngurue na kuku.
Alisema pia hakunywa pombe kali.

No comments:

Post a Comment